- MSAADA WA MADAWATI NA VIFAA VYA MAA
EOTF katika jitihada zake za kuiunga mkono serikali katika kutekeleza sera yake ya elimu, ilifanikiwa kusaidia kutoa msaada wa madawati madawati 808 na meza 451 kwenda kwenye shule mbali mbali kama ifuatavyo;
- Shule ya msingi Mbagala madawati 500 na meza 401
- Shule ya msingi Mpakani madawati 258
- Nachingwea meza 50 na na viti 50
- Vifaa vya maabara shule ya sekondari Kibasila
- MSAADA WA COMPUTA
EOTF ilitoa computa 44 kwa wahiaji mbali mbali kama ifuatavyo
- Shule ya sekondari Benjamin William Mkapa 24
- JKT Mgulani compute 10
- Kibaha Children’s Village Centre computa 10
- MSAADA WA VITABU
EOTF imeweza kusambaza jumla ya vitabu makontena 24 sawa na vitabu mabox 13,440 vyenye thamani ya dola za kimarekani240,000sawa na pesa za Tanzania shilingi milioni miatano hamsini na mbili (552,000.000). Vitabu vilisambazwa karibu mikoa yote ya Tanzania pamoja na nchi jirani ya Kenya kama ifuatavyo;
- Dar es salaam
- Mtwara
- Morogoro
- Lindi
- Pwani
- Njombe
- Iringa
- Kagera
- Mbeya
- Kilimanjaro
- Rukwa
- Tabora
- Arusha
- Dodoma
- Tanga
- Singida
- Mwanza
- Unguja
- Pemba
- Shinnyanga
- Songea
- Ruvuma
- Manyara
- Kigoma
- Kenya Book Source Trust= (copy ya majina ya mikoa iliyosambaziwa vitabu imeambatanishwa)
- MATOKEO:
EOTF inajivunia kupitia utekelezaji wa programu hii tumeweza kufikia malengo yetu yaliyowekwa wakati wa kuanzishwa kwa programu hii, ambapo fedha ziliweza kutolewa kuasaidia kulipa karo za wanafunzi wapatao 1755, ujezi na ukarabati wa shule uliweza kufanyika na matokeo yake mazingira ya elimu rafiki kwa watoto kujifunzia yaliweza kupatikana na hivyo tukafanikiwa kuzalisha wataalam katika fani mbali mbali za;